MJUE RAISI MUGABE KAMA RAISI ANAYEONGOZA KWA UMRI MKUBWA DUNIANI

Alizaliwa mnamo mwaka 1924 pia aliwahi kufungwa jela mwaka 1964 na kutoka mwaka 1974 kwa kosa la kutoa hotuba ya kuihujumu Serikali.
Lakini pia Umoja wa Ulaya(EU) umemuongezea muda wa vikwazo Mugabe, yeye pamoja na Mkewe Grace kwa mwaka 1 hadi tarehe 20 Februari mwakani.
Hata hivyo Rais Mugabe amesema kuwa Donald Trump hakuwa chaguo lake upande urais wa Marekani lakini pia hakupenda
Bi. Clinton ashinde kwakuwa angekuja kusimamia na kuviendeleza vikwazo iliyopewa nchi ya Zimbabwe.

Comments

Popular posts from this blog

Picha ya kutisha ya Mtoto wa miezi nane kulawitiwa na baba yake mzazi.

MAJANI YA MPERA NA FAIDA ZAKE MWILINI.