TOP Ten Ya NYOKA Wenye Sumu Zaidi Duniani Saturday, September 26, 2015 1. Belcher’s Sea Snake 2. Inland Taipan 3. Blue Krait 4. Taipan 5. Black Mamba 6. Tiger Snake 7.Philippine Cobra 8. Vipers 9. Death Adder 10. Rattlesnake
INASIKITISHA :: Mtoto wa miezi nane abakwa na baba yake mzazi baada ya mama yake kuenda kazini. Mtoto huyu aliachwa na mfanyakazi Wa ndani , dada Wa kazi alienda sokoni na mtoto kumuacha kwa jirani. Baba Wa huyu mtoto karudi na nyumbani na kumkuta Dada hayupo, ndipo alipoamua kuenda kumuulizia kwa jirani. Akakuta yupo mtoto, akamchkua mtoto na kuenda nae nyumbani. Baada ya hapo kilichotokea ni kumbaka mwanae.
MAJANI YA MPERA NA FAIDA ZAKE MWILINI. 🍊 ---------------------- 1. Chai ya majani ya mpera inaponyesha kifua na kikohozi. 2. Majani ya mpera yaliyosagwa vizuri yanatumika kutibu muwasho uliotokana na mzio (allergy). 3. Pia majani haya ya mpera yakichemshwa kama chai yanaondoa cholesterol iliyozidi mwilini. 4. Chai ya majani ya mpera inapunguza kiwango cha tatizo la sukari mwilini. 5. Chai ya mpera ni dawa nzuri kwa wenye matatizo ya nguvu za kiume. 6. Pia inatumika kama scrub ya uso. Chukua majani ya mpera saga kisha tia maji kiasi na inasaidia kuondoa uchafu usoni. 7. Pia majani ya mpera yakichemshwa ni dawa ya kuponyesha tumbo la kuhara. 8. Kama umejikata kidogo unaweza kutumia majani ya mpera yalioshwa na kusagwa vizuri kwa kupunguza maumivu na kukulinda na maambukizi ya bakteria. 9. Majani ya mpera yaliyosagwa vizuri yanatumika kutibu eneo la mwili lililong'atwa na mdudu na kupunguza maumivu. 10. Chai ya majani ya mpera inaaminika kuwa ina uwezo wa kutibu tezi dum
Comments
Post a Comment