Biashara ya Mahindi ya Kuchoma Yapigwa Marufuku



Kutokana na upungufu wa chakula, Mkuu wa Wilaya ya Same, Rosemary Senyamile apiga marufuku biashara ya mahindi ya kuchoma ili kukabiliana na tatizo la njaa.

Je, unahisi kupigwa marufuku kwa biashara ya kuchoma mahindi kutasaidia kupunguza tatizo la njaa ?

Comments

Popular posts from this blog

JE !!!! UNAJUA HISTORIA SAHIHI YA WIMBO WA TAIFA LA TANZANIA NA MTUNZI WAKE NA NI NCHI GANI WANAIMBA TUNE SAWA NA WIMBO HUU.

Picha ya kutisha ya Mtoto wa miezi nane kulawitiwa na baba yake mzazi.

UFAHAMU UGONJWA WA MSHIPA WA NGIRI (HERNIA/HYDROCELE)