Makonda Arudi Bongo kimya Kimya,Leo Aonekana Kurasini Akizindua Barabara..!!!!
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Paul Makonda amezindua barabara ya
Shimo la Udongo, Kilwa EPZ iliyopo kurasini ya Kilomita moja;
Iliyojengwa kwa kiwango cha zege na kampuni ya wazalendo ya Grant Tech
iliyogharimu takribani milioni 350.
Comments
Post a Comment