GODBLESS LEMA AJA NA YAKE ADAI KUFUNGUA KANISA VIONGOZI WA DINI WASIPO .....!!!!!!!
Akihutubia mkutano wa hadhara jana tindigani Arusha.Mbunge wa Arusha
mjini Godbless Lema amewatupia lawama viongozi wa dini kwa kuwa waoga
hata pale wanapoona katiba na sheria za nchi zinakanyagwa wazi wazi.
Lema ameenda mbali na kusema kama viongozi hao hawatabadilika na
kuendelea kuwa waoga na wanafiki atafungua kanisa lake na kuliita
Godbless lema church!
Amesisitiza haiwezekani viongozi wa dini wanahubiri mbiguni kuna
barabara ya dhahabu lakini wao wanakuwa waoga kwenda kuipita barabara
hiyo.Asemema viogozi wa dini wamekuwa waoga na uoga ni dhambi mbaya
zaidi.
Comments
Post a Comment