Nimejaribu kujiua zaidi ya mara nne- Saida Karoli
Akizungumza katika Promo ya mahojiano ya kipindi cha #TakeOne kinachorushwa na CloudsTv Saida karoli amesikika akisema kuwa ameshawahi kufanya majaribio ya kutaka kujiua zaidi ya mara nne.
Hata hivyo kupitia Promo hiyo amesikika akisema akisema yeye ni Mama wa watoto watano ambapo kila mtoto ana baba yake na kongeza kuwa hana mpango kutoa kizazi hivyo ataendelea kuzaa mpaka Mungu atakapowambia basi.
Comments
Post a Comment