Pichazzz..Hivi Ndivyo Makada wa CCM Walivyomshushia Kipigo cha Paka Mwizi Mbunge wa Chadema Aliyepita Kwenye Jengo la CCM Makuu Dodoma...!!!!


Mbunge wa Chadema Kunti Majala ameokolewa na Polisi Mara baada ya  dereva wake kushushiwa kipigo na makada wa Chama Cha Mapinduzi ,Baada ya Kuendesha Gari Hilo Karibu na Makao Makuu ya CCM Dodoma.
N:B Jengo lipo karibu na barabara magari yanapopita kwahiyo mbunge alikuwa anapita barabarani

Comments

Popular posts from this blog

JE !!!! UNAJUA HISTORIA SAHIHI YA WIMBO WA TAIFA LA TANZANIA NA MTUNZI WAKE NA NI NCHI GANI WANAIMBA TUNE SAWA NA WIMBO HUU.

Picha ya kutisha ya Mtoto wa miezi nane kulawitiwa na baba yake mzazi.

UFAHAMU UGONJWA WA MSHIPA WA NGIRI (HERNIA/HYDROCELE)